.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 25 Januari 2016

NYANGUMI WATATU WAFA NA KUSOMBWA NA MAJI UINGEREZA

Picha za maafa zinazoonyesha nyangumi watatu waliokufa na kusombwa na maji hadi kwenye fukwe nchini Uingereza, saa chache baada ya mwingine kufa baada ya kujikuta kwenye kina kifupi zimetolewa.

Nyangumi hao wamekutwa kwenye pwani ya Lincolnshire jana asubuhi muda mfupi baada ya nyangumi mmoja kufanya makosa na kujikuta akiogelea kwenye kina kifupi na kufa eneo la Hunstanton huko Norfolk.
              Watu wakishanga nyangumi waliokufa kwenye ufukwe wa Uingereza
     Baba mmoja akipiga Selfie mbele ya mzoga wa nyangumi akiwa na mtoto wake


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni