.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 19 Januari 2016

POLISI KENYA YAWASHIKILIA WATU WALIOKUWA WAKIMTOA MAPEPO MTOTO KWA KUMCHOMA MOTO

Askofu George Okal wa Kanisa la The Holy Spirit of Israel ambaye waumini wake wanashikiliwa.

Polisi nchini Kenya wanawahoji watuhumiwa watatu ambao wanadaiwa kumchoma moto mtoto katika eneo la Ponda Mali nje ya mji wa Nakuru, kwa madai kuwa wanamtoa mapepo.

Watuhumiwa hao wambao wanadaiwa walikuwa saba, wote wakiwa ni waumini wa kanisa la The Holy Spirit of Israel Church walitenda tukio hilo Ijumaa usiku.

Kamanda wa Polisi wa Kaunti Hassan Barua amesema watuhumiwa wengine wanne waliohusika na kumchoma moto mtoto huyo wa kike wa miaka 13 hawajapatikana.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni