Watu watatu waliohusika na tukio la
wiki iliyopita la shambulizi la Burkina Faso bado hawajapatikana,
Waziri Mkuu wa Ufaransa, Manuel Valls amesema.
Shambulizi hilo kwenye hoteli katika
Jiji la Ouagadougou, lilidaiwa kufanywa na al-Qaeda wa kundi la
Islamic Maghreb (AQIM).

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni