.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 26 Januari 2016

RAIS WA ZANZIBAR DK SHEIN ASHIRIKI MAZISHI YA MAREHEMU RAMADHANI NYONJE PANDU ZANZIBAR.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Ndugu na Jamaa alipofika nyumbani kwa Marehemu kutowa mkono wa Pole na kuwafariji Wafiwa nyumbani kwao Fuoni Michezani Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akijumuika na Ndigu na Jamaa wa Marehemu Ramadhani Nyonje Panda Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, kutoa mkono wa pole kwa wafiwa wakati wa maziko yake.Marehemu Ramadhani Nyonje amefariki wiki iliopita akirudi matibabuni Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, na Ndugu wa Marehemu wakiitikia dua ikisomwa na Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sh, Khamis Haji Khamis akisoma dua kuuombea mwili wa marehemu Ramadhani Nyonje Pandu nyumbani kwake Fuoni Michezani Zanzibar.
                                                     Ndugu na Jamaa wa marehemu wakiitikia dua
                                                                   Wanafamilia na Ndugu wakiitikia dua.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimfariki kizukwa alipofika kumpa pole nyumbani kwake Fuoni Michezani Zanzibar leo asubuhi.


















Hakuna maoni :

Chapisha Maoni