.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 26 Januari 2016

ASKOFU MSANII WA KENYA AISHIE LONDON AIBUKA NA MAFUTA YA KUTIBU UKIMWI

Askofu Gilbert Deya ambaye awali alikumbwa na kashfa ya watoto wa miujiza, amehusishwa safari hii na miujiza feki mwingine wa kuwauzia watu mafuta ya mzaituni na kudai kuwa yanatibu Ukimwi.

Askofu huyo ambaye alitimka Kenya na kwenda kuishi Jijini London Uingereza baada tuhuma za kuwateka watoto amenaswa na gazeti moja la Uingereza akiuza chupa za mafuta ya mzaituni za mililita 750 kwa gharama ya shilingi 200 hadi 750 za Kenya.

Mhubiri huyo mtata pamoja na wasaidizi wake wamesema wamekuwa kiuuza mafuta hayo wanayodai kuwa yanatibu Ukimwi, ambayo huyanunua eneo la Aldi, kwenye duka la bidhaa kusini mwa London.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni