.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 13 Januari 2016

SERIKALI YA ETHIOPIA YAACHANA NA MPANGO WA KUPANUA MIPAKA YA ADIS ABABA

Serikali ya Ethiopia imeachana na mpango wa kupanua mipaka ya Jiji la Addis Ababa ambapo umesababisha maandamano makali ya miezi kadhaa kupinga mpango huo.

Maandamano hayo ya watu wenye asili ya kabila la Oromo yamechochewa na hofu kuwa upanuzi huo wa Jiji la Addis Ababa utawafanya wakose makazi.

Makundi ya haki za binadamu yamesema watu wapatao 140 wameuwawa na vikosi vya usalama wakati wa maaandamano ya kupinga mpango huo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni