.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 30 Januari 2016

UGONJWA WA AJABU WA NGOZI WAMPATA MWANAUME MMOJA NCHINI BANGLADESH

Mwanaume mmoja wa Bangladesh aliyebatizwa jina la mtu mti kutokana na kupatwa na ugonjwa wa ngozi inayokuwa mithili ya magome ya miti amelazwa hospitali.

Mwanaume huyo Abul Bajandar, 25, kutoka Khulna, amekuwa anaugua ugonjwa nadra wa ngozi unaoitwa kitaalamu Epidermodysplasia Verruciformis, kwa zaidi ya miaka saba iliyopita.

Madaktari wa Hospitali ya Dhaka Medical (DMCH) sasa wanajaribu kuamua ni tiba gani ya kumpatia mgonjwa huyo baada ya kuunda bodi ya wataalamu wa tiba. 
        Hivi ndivyo mikono yake inavyoonekana kutokana na ugonjwa huo wa ajabu


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni