.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 30 Januari 2016

CHELSEA YANASA SAINI YA MAT MIAZGA KUTOKA NEW YORK RED BULLS

Chelsea imethibitisha kunasa saini ya Matt Miazga kutoka timu ya New York Red Bulls kwa mkataba wa miaka minne na nusu.

Beki huyo Mmarekani, 20, alikuwa kwenye kikosi cha New York kilichomaliza katika nafasi ya kwanza katika msimu wa Ligi Kuu ya Marekani wa mwaka jana.

Kuwasili kwa beki huyo kunafuatia mshambuliaji Mbrazil Alexandre Pato, aliyechukuliwa kwa mkopo kwa msimu wote mmoja

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni