.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 15 Januari 2016

WAHAMIAJI WAPIGWA MARUFUKU KUOGELEA KWENYE MABWAWA YA UMMA KATIKA MJI WA UJERUMANI

Mji wa mmoja wa nchini Ujerumani umewapiga marufuku wahamiaji kuogelea kwenye mabwawa ya umma baada ya wanawake wa nchi hiyo kulalamika kuwapo kwa vitendo vya udhalilishaji.

Afisa wa serikali wa mji wa Bornheim amesema wanaume kutoka kituo cha wahamiaji kilichopo karibu na mji huo watazuiwa kuogelea kwenye mabwawa hadi watakapoelewa tabia zao hazikubaliki.


Uamuzi huo unafuatia hasira za umma kutokana na mamia ya wanawake kudhalilishwa kingono Jijini Cologne pamoja na majiji mengine ya Ujerumani usiku wa mwaka mpya na wahamiaji wanaume.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni