.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 15 Januari 2016

HELKOPTA MBILI ZA JESHI LA MAREKANI ZAGONGANA ZIKIWA NA WANAJESHI 12

Helkopta mbili za kikosi cha Jeshi la Majini la Marekani zimegongana karibu na kisiwa cha Oahu kilichopo Hawaii zikiwa kila moja na watu sita.

Ajali hiyo ya kugongana helkopta hizo imetokea usiku wakati wa mazoezi chanzo cha ajali hakijajulikana. Mkuu wa walinzi wa Pwani Afisa Sara Moores amesema mabaki yameonekana baharini.


Kapteni wa Kikosi cha Jeshi la Majini Timothy Irish amesema zoezi la kuwatafuta wanajeshi na uokoaji linaendelea pamoja na kubaini zilipo helkopta hizo za mbili aina ya CH-53.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni