.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 24 Januari 2016

WAMAREKANI WAKABILIWA NA THELUJI KUBWA ILIYOSABABISHA VIFO

Theluji kubwa iliyofunika mashariki mwa Marekani imewafanya wakazi wa majiji ya New York na Washington DC wanaofikia milioni 85 kukwama kufanya shughuli zao za kila siku.

Theluji hiyo inafikia upana na sentimita 102 katika baadhi ya maeneo, imefanya huduma za usafiri wa reli na ndege kukwama, huku umeme ukikatika kwa watu wapatao 200,000.

Amri ya kutosafiri iliyowekwa Jijini New York lililoshuhudia theluji kubwa iliyoshuka na kuweka rekodi, inatarajiwa kuondolewa baadae leo.
          Mtu akikatiza kati kati ya magari yaliyofunikwa na theluji nchini Marekani
                    Wanajeshi wakijaribu kuondoa theluji baada ya gari lao kukwama 
                                                 Mtu akitumia mbwa kumvuta kwenye theluji

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni