Watu wapatao 16 wamekufa njaa katika
mji uliozingirwa wa Madaya nchini Syria tangu ujumbe wa Umoja wa
Mataifa kufika mji huo mapema huu, kwa mujibu wa shirika la Madaktari
Wasionamipaka.
Mkurugenzi wa Operesheni wa shirika
hilo Brice de la Vingne, amesema kuwa watu wengine 33 wapo hatarini
kufa kwa njaa.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni