Barua pepe 22 zilizotumwa kwa Bi.
Hillary Clinton kwenye seva isiyona usalama nyumbani kwake wakati
akiwa Waziri wa Mambo ya Nje zikiwemo zenye siri za serikali, maafisa
wa Marekani wamesema.
Idara ya Serikali ya Marekani
imesema ujumbe uliotumwa ulikuwa ni siri za hali ya juu, na haziwezi
kutolewa kwa umma.
Msemaji wa Idara hiyo John Kirby
amesema barua pepe hizo zilikuwa hazijawekwa ishara ya kuwa ni siri
wakati zikitumwa.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni