.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 17 Januari 2016

WAYNE ROONEY AZAMISHA LIVERPOOL KWENYE DIMBA LA ANFIELD

Mshambuliaji wa Manchester United, Wayne Rooney amefanikiwa kuizima Liverpool nyumbani baada ya kufunga bao pekee katika dakika ya 78 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Uingereza.

Ikicheza kwenye dimba la nyumbani la Anfield Liverpool ilifanya mashambulizi makali katika nusu ya kwanza ilioishia kila timu kutoona nyavu za mwenzake.

Mchezaji Adam Lallana alikosa nafasi nzuri ya Liverpool katika nusu ya kwanza, ambapo Emre Can akinyimwa bao katika kipindi cha pili.
                                     Wayne Rooney akimtoka beki wa Liverpool Kolo Toure
                                    Kipa wa Man Utd David De Gea akimnyima goli Lallana
                      Ashley Young aliumia katika mchezo huo mnano dakika ya 43

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni