.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 20 Januari 2016

WILFRIED BONY KANUSHA UVUMI WA KUONDOKA MANCHESTER CITY

Mshambuliaji raia wa Ivory Coast, Wilfried Bony amesema kuwa hakuna ukweli wowote juu ya uvumi kuwa yeye anaondoka Manchester City.

Mchezaji huyo alihoji uamuzi wa kocha Manuel Pellegrini kumuacha mwezi Desemba na tangu wakati huo wamekuwa akihusishwa na kurejea Swansea.

Wilfried Bony amesema anafuraha kwenye klabu hiyo, na kusema uvumi wote unaosemwa juu yake si kweli.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni