.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 28 Februari 2016

BONDIA CARL FRAMPTON AMEMDUNDA SCOTT QUIGG

Bondia Carl Frampton amemdunda Scott Quigg kwa uamuzi wa kura uliotofautiana na kufanikiwa kuunganisha mikanda miwili ya IBF na WBA uzito wa super-bantamweight katika ubingwa wa dunia.

Katika mchezo huo ambao majaji walionekana kutofautiana, majaji wawili walimpa Carl Frampton pointi 116-112 huku jaji mmoja akimpatiwa Scott Quigg pointi 115-113.

Kwa ushindi huo rekodi ya sasa ni mapambano 22 akishinda yote ambapo 14 kati ya hato ni kwa KO, wakati Quigg akipambana mara 34 kushinda 31 ambapo 23 kati yake ni kwa KO, kutoa sare mara mbili na kupoteza mara moja.
                        Bondia Carl Frampton akimpiga ngumi ya kifuani Scott Quigg

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni