Chama tawala nchini Zimbabwe kimekosolewa kwa kufanya sherehe
ya anasa ya kuadhimisha miaka 92 ya kuzaliwa rais Robert Mugabe
wakati wananchi wengi wakikabiliwa na uhaba wa chakula.
Sherehe hiyo iliyoandalwa na chama cha ZANU-PF imeripotiwa
kugharimu karibu dola lakini nane.
Chama cha upinzani cha Movement for Democratic Change (MDC)
kimesema sherehe hizo ni jambo la kufedhehesha.


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni