.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 28 Februari 2016

MWANAHABARI NA BLOGGER GEORGE BINAGI ASHEREHEKEA MIAKA YAKE YA KUZALIWA

Kila ifikapo February 26 ya Kila Mwaka Mwanahabari na Blogger George Marwa BinagiGB Pazzo(Kulia) Mzaliwa wa Kijiji cha Kenyamanyori,Wilaya ya Tarime Mkoani Mara, Kikazi Jijini Mwanza, huadhimisha siku yake ya Kuzaliwa.

Jana wadau mbalimbali waliungana na GB Pazzo kusherehekea siku yake ya Kuzaliwa, ambapo katikati alikuwa ni Mgeni Rasmi ndug.Dede Petro ambae ni Mwenyekiti wa Chama cha Madereva Kanda ya Ziwa na Kushoto ni Loyce Nhaluke kutoka Kampuni ya Uuzaji Sola ya M-Power.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni