Kila ifikapo February 26 ya Kila Mwaka Mwanahabari na Blogger
George Marwa BinagiGB Pazzo(Kulia) Mzaliwa wa Kijiji cha
Kenyamanyori,Wilaya ya Tarime Mkoani Mara, Kikazi Jijini Mwanza,
huadhimisha siku yake ya Kuzaliwa.
Jana wadau mbalimbali waliungana na GB Pazzo kusherehekea siku
yake ya Kuzaliwa, ambapo katikati alikuwa ni Mgeni Rasmi ndug.Dede
Petro ambae ni Mwenyekiti wa Chama cha Madereva Kanda ya Ziwa na
Kushoto ni Loyce Nhaluke kutoka Kampuni ya Uuzaji Sola ya M-Power.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni