Nchi ya Korea Kaskazini imerusha
kombora la roketi la masafa marefu, ambalo wakosoaji wake wamesema ni
jaribio la tekonolojia ya silaha za masafa marefu zilizopigwa
marufuku.
Televisheni ya umma imesema Korea
Kaskazini imefanikiwa kufikisha setilaiti yake kwenye orbit.
Kurushwa kwa kombora hilo
kumelaumiwa na mataifa ya Japan, Korea Kusini na Marekani, ambao
wametaka kuitishwa kwa mkutano wa dharura wa Baraza la Usalama la
Umoja wa Mataifa hii leo.
Rais wa Korea Kaskazini Kim Jong-un akitia saini agizo la kurushwa kwa kombora hilo


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni