Mshambuliaji machachari Jamie Vardy
ametia saini mkataba mpya wa miaka mitatu kuendelea na klabu yake ya
Leicester City.
Mshambuliaji huyo Muingereza, 29,
alijiunga na Leicester akitokea Fleetwood kwa uhamisho wa paundi
milioni 1 mwaka 2012, na mabao yake yameisaidia timu hiyo inayonalewa
na Claudio Ranieri kuongoza Ligi Kuu ya Uingereza.
Vardy amesema tangu ajiunge na
Leicester timu hiyo imemuonyesha kuwa inaimani na yeye jambo ambalo
ni rahisi kupima sasa imani hiyo ilivyomfanya aweze kuwa na kiwango
bora cha kufunga mabao.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni