Makumi ya maelfu ya wakimbizi wa
Syria wanaelekea katika mpaka wa Uturuki, kukimbia mapigano makali
karibu na mji wa Aleppo.
Waziri Mkuu wa Uturuki Ahmet
Davutoglu, amesema wakimbizi wapatao 70,000 wanaelekea mpakani, huku
makundi ya uangalizi yakisema idadi yao ni wakimbizi 40,000.
Mashambulizi makali ya vikosi vya
Urusi yamesaidia kuimarisha vikosi vya jeshi la Syria, kusonga karibu
na mji mkubwa wa nchi ya Syria wa Alleppo.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni