.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 10 Februari 2016

MASHABIKI WA BORUSSIA DORTMUND WARUSHA MIPIRA YA TENESI UWANJANI KUPINGA KIINGILIO

Mpira ya tenesi ikionekana inarushwa kwenye uwanja na mashabiki wa Borussia Dortmund waliokuwa wanapinga kutozwa kiingilio cha paundi 31 kuuona mchezo huo wa robo fainali wa Kombe la Ujerumani kwenye dimba la Mercedes-Benz ambapo Dortmund ilishinda kwa mabao 3-1.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni