Rafiki wa karibu wa Kocha Jose
Mourinho amesema mipango imekamilika kwa kocha huyo kuinoa Manchester
United katika majira ya joto.
Gazeti la mail michezo lilibainisha
mwishoni mwa wiki kuwa Mreno huyo yupo tayari kukubali kuchukua
mikoba ya kocha Louis van Gaal.
Mourinho amekuwa hana kibarua tangu
atimuliwe na Chelsea Desemba mwaka jana na imekuwa ikijulikana
angefurahi kupata nafasi ya kuinoa Manchester United.


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni