Wawania urais wa chama cha
Republican Donald Trump na wa Democrat Seneta Bernie Sanders
wametikisa mbio za urais wa Marekani baada ya kushinda kwenye kura za
maoni huko New Hampshire.
Billionea Trump anatarajiwa kushinda
maradufu katika kura hizo kati ya wagombea wengine urais wa chama cha
Republican.
Seneta Bernie Sanders, ambaye
amemshinda mpinzani wake wa Democratic Bi. Hillary Clinton kwa
kumuacha mbali amesema ushindi wake umeonyesha watu wanataka
mabadiliko ya kweli.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni