.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 21 Februari 2016

MUWANIA URAIS WA MAREKANI DONALD TRUMP ASHINDA SOUTH CAROLINA

Muwania urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Republican Bw. Donald trump ameshinda kura za maoni South Carolina, na kujiweka katika mazingira mazuri ya kuteuliwa na chama chake kuwania urais.

Katika kinyang'anyiro hicho kwa upande wa wagombea wa chama cha Democratic, Bi. Hillary Clinton amemshinda Bernie Sanders kwenye mchakato wa kura ya maoni uliokuwa na ushindani mkali.

Matokeo hayo yote mawili yatakuwa ni muhimu kuelekea siku ya jumanne ya Machi mosi ambapo makumi ya machimbo yataamua nani anafaa kuwania urais wa Marekani.

Ushindi wa Bw. Trump umepelekea kummaliza kabisa Gavana Jeb Bush ambaye ameondoka kwenye mbio za kuwania urais kwa chama cha Republican.
                     Donald Trump akiweka mkono juu ya ujauzito wa binti yake Ivanka

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni