Naomba tushirikiane na familia katika kipindi hiki kigumu. Marehemu alikuwa akiishi Mbagala Saku kwa Mkongo, tutajulishana kadri nitakavyopata taarifa, lakini marehemu alikuwa akifanya kazi Redio Tumaini, hivyo naamini tutapata taarifa vizuri muda si mrefu.
Ahsanteni,
Katibu Mkuu TASWA
20/02/2016
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni