Gianni Infantino akiwapungia mikono wajumbe wa Fifa baada ya kuchaguliwa kuwa Rais wa Shirikisho hilo la soka ulimwenguni.
Sheik Salman ( kulia ) aliyekuwa naye mgombea wa kiti cha Urais wa Fifa, akimpongeza Rais wa Fifa Gianni Infantino ( kushoto ) mara baada ya kutangazwa mshindi kwa kupata kura 115 dhidi ya 88.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni