Muonekano wa vipita shoto katika mji wa Moshi unavyoonekana ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Mbio za Kimataifa za Kilimanjaro Marathoni zitakazofanyika Jumapili hii.
Baadhi ya wajasliamali wakiwa wamewek bidhaa zao nje ya Hotel ya Keys kunako fanyika zoezi la uandikishaji wa washiriki wa mbio hizo.
Baadhi ya washiriki wa mbio za kimataifa za Kilimanjaro Marathoni wakijiandikisha katika moja ya banda yaliyopo Hotel ya Keys.
Baadhi ya washiriki wa Mbio za Km 42 zinazodhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager wakijaza fomu wakiti wakijiandikisha katika Hotel ya Keys.
Wakimbiaji wa Mbio za KM 21 zinazodhaminiwa na Kampuni ya Mawasiliano ya simu za mkononi ya Tigo wakijiandikisha katika Hotel ya Keys mjini Moshi.







Hakuna maoni :
Chapisha Maoni