.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 7 Februari 2016

SIR ELTON JOHN AMUOMBA MSAMAHA MAMA YAKE BAADA YA MIAKA SABA KUPITA

Mwanamuziki Sir Elton John, ameweza kupata ujasiri wa kumuomba msamaha mama yake mzazi Sheila Farebrother, 90, baada ya kutangaza hadharani kuwa wamemaliza ugomvi wao uliodumu kwa miaka minane.

Mwanamuziki huyo alifanikisha kumaliza tofauti zake na mama yake pale alipomtumia shada la mauwa meupe la bei mbaya, mwaka jana, wakati mama yake Sheila alipokuwa ametimiza umri wa miaka 90.

Zawadi hiyo ya shada iliambapata na maandishi yaliyoandikwa 'Wow, 90! Congratulations. Love Elton, David, Zachary and Elijah,' ikiwa ni mawasiliano yao ya kwanza kufanyika baina yao baada ya ukimya wa miaka saba.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni