Watu wapatao 30 wameuwawa katika mashambulizi ya anga kwenye
soko karibu na Jiji la Sanaa nchini Yemen.
Wakazi wa eneo hilo wamenukuliwa na shirika la habari Reuters
wakisema watu wapatao 30 wamejeruhiwa wengi wao wakiwa ni raia.
Haijafahamika nani haswa amefanya shambulio hilo. Watu wapatao
6,000 wameuwawa tangu Saudia Arabia na washirika wake waanze
kuwashambulia waasi Machi mwaka jana.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni