.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 27 Februari 2016

WEST HAM YAIFUNGA SUNDERLAND NA KUKWEA HADI KATIKA NAFASI YA TANO

Timu ya West Ham imeongeza rekodi ya kutofungwa nyumbani kufikia michezo 13 baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Sunderland, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Uingereza uliomalizika

Bao la Michail Antonio lililofungwa katika kipindi cha kwanza lilitosha kuipandisha West Ham hadi katika nafasi ya tano ya msimamo wa ligi hiyo na kuinyima Sunderland nafasi ya kujikwamu kutoka kundi la mkiani.
                 Kiungo wa West Ham Manuel Lanzini akimtoka Dame wa Sunderland

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni