Watumishiwa misaada wa nchini
Uturuki wamekuwa wakijenga mahema na kugawa mahitaji muhimu kwa
wakimbizi wapya wa Syria wanaoendelea kuingia kwenye mpaka wa
Uturuki.
Wakimbizi 35,000 wamekimbia Syria
kufuatia mashambulizi ya vikosi vya serikali katika mji wa Aleppo
wiki iliyopita. Wakijaribu kuingilia kwenye mpaka wa mkoa mkoa wa
Kilis Uturuki.
Hata hivyo Uturuki kwa sasa imefunga
mpaka wake kwa wakimbizi wengi licha ya Umoja wa Ulaya kutaka
waruhusiwe kuingia nchi hiyo.
Uturuki kwa sasa inahifadhi
wakimbizi milioni 2.5 kutokea Syria wanaokimbia vita kwenye nchi
hiyo.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni