.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 22 Februari 2016

WENGER AWATAKA ARSENAL KUTAFUTA MBINU YA KUMDHIBITI SUAREZ KESHO

Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger amewataka wachezaji wake kutafuta mbinu ya kumficha Luis Suarez, watakapokutana katika mchezo wao Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Barcelona.

Arsenal watakutana na Barcelona katika mchezo huo wa hatua ya 16 bora utakaofanyika jumanne, ambapo Wenger amehimiza Arsenal kumdhibiti Suarez aliye kwenye kiwango cha juu.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni