Watu wapatao wawili wamekufa katika
ajali ya barabarani iliyotokea jana usiku katika barabara ya Mombasa
nchini Kenya, karibu na kituo cha Standard Group, Jijini Nairobi.
Watu wengine 27 wamejeruhiwa katika
ajali hiyo iliyosababishwa na dereva wa gari la abiria matatu
aliyekuwa mwendo wa kasi na kujikuta likimshinda na kuagusha gari.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni