Magoli yaliyofungwa na Angel di Maria na Gabriel
Mercado yamefufua matumaini ya timu ya Argentina ya kufuzu kutinga
michuano ya kombe la dunia ya mwaka 2018.
Chile ilikuwa ya kwanza kupachika bao katika
dakika ya 11 kupitia kwa Felippe Gutierrez, lakini Angel di Maria
alisawazisha kwa shuti la kulia la kuzungusha mpira.
Mchezaji wa River Plate Gabriel Mercado aliipatia
Argentina ushindi muhimu kufuatia shambulizi lililofanywa katika
dakika ya 25.
Gabriel Mercado akishangilia bao alilofunga akiwa na Lionel Messi
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni