.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 23 Machi 2016

@BATA VILA LOUNGE NDIO NDIO HABARI YA MUJINI HIKI NI KIOTA KIPYA KILICHOFUNGULIWA NDANI YA JIJI LA ARUSHA NI SHIDAAAAAAAA

Wageni wa alikwa wakiwa wanashangilia ndani ya kiota kipya cha BATA VILA LOUNGE kilichopo sakina jijini Arusha wanakwambia apa ni fuluuuu Bata kwa kwenda mbele
Ulikuwa ni usiku wa staree tu ndani ya bata vila loungle sakina wanakuambia njoo usikilize mziki laini na wa kistaarabu


Chezea mtu na shemeji yake wewe nao walikuwa wanapata raha ndani ya ukumbi mpya wa bata vila sakina ni shidaaaaaaaaaaaaaa


Mkurugenzi wa Libeneke la kaskazini blog "http://www.woindeshizza.blogspot.com/" kati kati woinde shizza akiwa na wadau ndani ya Bata Vila Lounge kwa sasa hivi ndio habari ya A-Town ni shida

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni