.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 27 Machi 2016

BONDIA NICK BLACKWELL AKIMBIZWA HOSPITALI BAADA YA KUDUNDWA

Bondia Nick Blackwell alikimbizwa hospitali baada ya kupigwa na Chris Eubank Jr katika pambano la uzito wa uzani wa kati nchini Uingereza lililofanyika jana Jijini London.

Refa wa pambano hilo alilazimika kulisimamisha katika raundi ya 10, baada ya daktari kushauri Blackwell hatoweza kuendelea kutokana na uvimbe kwenye jicho lake la kushoto.

Bingwa huyo aliyedundwa baadaye alilazimika kuondolewa kwenye ulingo kwa kutumia machela na kukimbizwa hospitali kwa matibabu.
          Refa akiwa amemshika Nick Blackwell aliyekuwa akivuja damu kwa kipigo
               Bondia Nick Blackwell akipingwa ngumi ya kushoto na Chris Eubank Jr
                                                                       Chris Eubank akifurahia ushindi wake 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni