Fundi umeme amekufa baada ya
kuanguka kutoka kwenye jengo la ghorofa 53 huko Los Angeles.
Polisi wamesema fundi huyo alianguka
akifanyakazi katika jengo hilo la ghorofa lililokuwa katika ujenzi na
kuangukia juu ya paa la gari eneo la Wilshire Boulevard.
Imeelezwa kuwa fundi huyo ambaye ni
mwanaume alikuwa katika siku yake ya pili katika mradi huo wa ujenzi.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni