.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 1 Machi 2016

MADAKTARI WA KENYA NA MAREKANI KUBUNI UPIMAJI MACHO KWA KUTUMIA SIMU

Madaktari nchini Kenya wanashirikiana na Chuo Kikuu cha Uingereza kutengeneza kifaa cha kupimia macho kwa kutumia simu ya mkononi.

Kifaa hicho cha kuhamishika kinachotokana na app inayoweza kuingizwa kwenye simu za smartphone kitatumika kupima macho ya wanafunzi katika kaunti za Kenya, kitakapokamilika.

Ubunifu huo unafanywa na Dk. Hillary Rono pamoja na timu ya Chuo cha Afya na Magonjwa ya Tropiko cha London.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni