Mwanamieleka Hulk Hogan amezawadiwa na mahakama kiasi cha dola
milioni 115, kama fidia ya madhara aliyoyapata baada ya tovuti moja
kuvujisha video inayomuonyesha akifanya ngono na rafiki wa mke wake.
Wazee wa ushauri wa mahakama wamemzawadia Hogan dola milioni 55
kwa kuathirika kiuchumi na dola milioni 60 kwa kuathirika
kisaikolojia kwa kitendo hicho.
Mbabe huyo wa mieleka Hogan alibubujikwa na machozi mahakamani
wakati hukumu hiyo iliyompa ushindi ikitolewa.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni