Ndege ya abiria imepata ajali katika mji wa Rostov-on-Don
kusinia mwa Urusi na kuuwa abiria 55 pamoja na wafanyakazi sita wa
ndege hiyo.
Ndege hiyo ya The FlyDubai Boeing 737-800, ikitokea Dubai,
ilikosea kutua kwenye njia yake wakati ikijaribu kutua hii leo.
Haijafahamika mara moja kilichosababisha ajali hiyo hata hivyo
hali ya uono hafifu uliosababishwa na upepo mkali unahisiwa kuwa ndio
chanzo.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni