Mtuhumiwa wa mashambulizi ya Paris Salah Abdeslam amejeruhiwa
na kukamatwa katika msako uliofanyika Jijini Brussels baada ya
kutafutwa kwa kipindi cha miezi minne.
Mwanaume mwingine Monir Ahmed Alaaj, pia naye yupo katika
orodha ya watu wanaotafutwa na vyombo vya dola mwendesha mashtaka wa
Ubegiji amesema.
Wanafamilia watatu wanaotuhumiwa kumpa hifadhi nyumbani kwao
mtuhumiwa Abdeslam pia nao wanashikiliwa na polisi.
Rais wa Ufaransa Francois Hollande amesema anatarajia mtuhumiwa
Abdeslam kusafirishwa kwenda Ufaransa haraka iwezekanavyo.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni