.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 15 Machi 2016

MIKE TYSON AMUUNGA MKONO MGOMBEA DONALD TRUMP

Bondia wa zamani wa uzito wa juu Mike Tyson amesema anamuunga mkono muwania urais wa Marekani anayeongozwa katika cha cha Republican.

Akihojiwa katika mahojiano mara mbili katika Jiji la New York Tyson ambaye ni rafiki wa Trump, alisema anamuunga mkono Trump siku zote na kuongeza kuwa watu wakampigie kura.
                                                                  Mike Tyson akiwa na binti yake Milan

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni