.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 15 Machi 2016

MSHAMBULIAJI WA CHELSEA DIEGO COSTA AMEFUNGULIWA MASHTAKA

Mshambuliaji wa Chelsea, Diego Costa, amefunguliwa mashtaka ya utovu wa nidhamu baada ya kupata kadi nyekundu katika mchezo na Everton jumamosi.

Mhispania huyo alitolewa nje baada ya kugombana na kiungo Gareth Barry wa Everton katika dakika ya 84, ambapo Chelsea ilifungwa mabao 2-0 katika dimba la Goodison Park.

Costa, 27, alionekana kama anamng'ata Barry katika tukio hilo ingawa wachezaji wote wawili wamekanusha kutokea tukio hilo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni