Askari huyu akiwa doria katika uwanja wa ndege wa Frankfurt nchini Ujerumani muda mfupi baada ya kutokea kwa milipuko miwili ya mabomu mjini Brussels nchini Ubelgiji na kuua watu kadhaa na wengine wakijeruhiwa.
Abiria wakiwa wamekwama katika kituo cha treni cha St Pancras mjini London nchini Uingereza baada ya safari zote treni zinazokwenda na kutoka Brussels kufutwa.
Askari wakiwa wameimarisha ulinzi katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa wa Schiphol mjini Amsterdam, Uholanzi
Hali ilivyo katika uwanja wa ndege wa Frankfurt
Polisi wakifanya ukaguzi nje ya uwanja wa ndege wa Fiumicino Roma, Italia
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni