.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 26 Machi 2016

MTUHUMIWA WA MASHAMBULIZI YA PARIS AKATA KUONGEA KUHUSU TUKIO LA BRUSSELS

Mtuhumiwa wa mashambulizi ya Paris Salah Abdeslam amekataa kuongea kuhusiana na mashambulizi ya jumanne Jijini Brussels, Waendesha mashtaka wa Ubelgiji wamesema.

Wamesema kuwa Abdeslam aliyekamatwa wiki iliyopita Brussels na kutoa ushirikiano hapo wa awali, ameamua kutumia haki yake ya kukaa kimya na kukataa kusema lolote alipohojiwa kuhusu tukio hilo.

Salah Abdeslam alikamatwa siku chache kabla ya mashambulizi ya Brussels, yaliyouwa watu 31.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni