.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 26 Machi 2016

WAHAMIAJI WAJICHIMBIA KWENYE MAENEO FINYU YA GARI ILI KUZAMIA ULAYA

Wahamiaji sita wamebainika wakiwa wamejificha kwenye maeno yenye nafasi finyu kwenye gari wakisafirishwa na genge la mafia la usafirishaji haramu watu.

Wahamiaji hao wamebainika na kikosi cha ulinzi cha Hispania kwa kipindi cha siku mbili kwenye mpaka na Morocco na eneo la Hispania lililo ingia kaskazini mwa Afrika la Melilla.

Wahamiaji hao wote sita ni vijana wa kiume kutoka Guinea na walikuwa wanasafiri bila nyaraka zozote, kwa mujibu wa mamlaka za Hispania.
     Mhamiaji haramu akiibuliwa na polisi kwenye chimbo alilojificha kwenye gari
   Hili ndilo eneo mhamiaji huyo alikuwa amejichimbia kwenye gari akisafirishwa kwenda Ulaya

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni