Mtaalamu wa programu za komputa
Mmarekani Ray Tomlinson ambaye alibuni email na kuweka matumizi ya
alama ya @ amefariki dunia kwa shambulio la moyo akiwa na umri wa
miaka 74.
Ray Tomlinson alivumbua mfumo huo wa
kutuma ujumbe wa kielektroniki unaoweza kutumwa kwa watu wanaotumia
komputa tofauti mwaka 1971, ambapo awali jambo hilo halikuwa
likiwezekana.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni