.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 24 Machi 2016

MWANAMKE APIGWA BAKORA HADHARANI INDONESIA KWA KUFANYA ZINAA

Mwanamke mmoja ameadhibiwa kwa kupigwa bakora mgongoni hadharani nchini Indonesia, kutokana na kubainika kufanya zinaa nje kabla ya ndoa.

Mwanamke huyo kijana aliwekwa juu ya jukwaa mbele ya umma huko Banda Aceh na kulazimishwa kupiga magoti na kuchapwa bakora hizo mgongoni hadi akaishiwa nguvu.
                Mtu aliyejifunika uso akimchapa bakora mwanamke anayedaiwa kuzini 
                          Mwanamke huyo akiondolewa kwenye machela baada ya kuzidiwa
                     Mwanaume aliyezini naye akipigwa bakora za mgongoni kwa kosa hilo 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni