Waziri Mkuu wa Somalia
ameunga mkono wazi kampeni ya kupiga marufuku vitendo vya ukeketaji
wanawake nchini humo.
Kwa mazingira ya sasa
ukeketaji Somalia ni kinyume na Katiba, lakini bunge la nchi hiyo
bado halijapitisha muswada wa kupiga marufuku.
Waziri Mkuu Omar
Abdirashid Ali Sharmarke amejiunga na zaidi ya mamilioni ya wananchi
wa Somalia waliosaini shinikizo kwa njia ya mtandao la kutaka kupigwa
marufuku ukeketaji.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni